Skip to main content

MTOTO KATIKA UKUAJI

HATUA MUHIMU ZA UKUAJI WA MTOTO KISAIKOLOJIA
Dr. DALUS
Mtoto anapitia mabadiliko mbali mbali ya kimwili,kiakili na kisaikolojia pindi anapokua anakuwa hadi kuwa mtu mzima. leo nitakuelezea hatua za ukuaji wa mtoto kisaikolojia muhimu sana katika malezi yake. hatua hizo ni kama ifatavyo

1.ORAL STAGE
Mtoto anakua katika stage hii anapokuwa na umri wa,mwezi mmoja hadi mwaka mmoja.  
Sasa kwa kipindi hiki erogenous zone ya mtoto inakua mdomoni, raha ya mtoto inakua kitu chochote kinachoingia mdomoni ndo maaana kipindi hiki mtoto kila kitu anachoshika anapeleka mdomoni .
Hiki ndo kipindi cha kujenga strong bond kwa mtoto na mama pale mtoto anapokuwa ananyonya inamjenga kumthamini mama kuliko mtu yyte Kipindi hiki inabdi kuwa makini na vitu kama shanga,sarafu nk ambavyo akiweka mdomoni vnaweza kumkaba
Hapa kama mzazi ana tabia ya kula kucha ndo kipindi mtoto nae anajifunza na kua hvo anapokua

2.ANAL STAGE
Stage hii inaanza umri wa mwaka 1 hadi miaka mi 3 Hapa mtoto raha yake ni kitu kinachotoka kupitia haja kubwa.
Kipindi hiki ndo kile mtoto anapenda penda sana kuomba pot au kukalia pot. Kipindi hiki ni kizur kumfundsha mtoto matumizi mazur ya choo (toilet behavior s) anapojisaidia ovyo unajaribu kumwelezea wapi pa kujisaidia nk. Ni stage pia ambayo unamfudsha mtoto asiwe na tabia ya kujinyea anapokua

3.PHALLIC STAGE
Hapa erogenous zone zinakua sehemu za siri. Kipindi hiki mtoto anaelewa tofaut ya kimaumbile ya mwanaume na mwanamke Kipindi hiki mtoto wa kike anamwonea wivu mama kwa nni anapendwa na baba na,wa kiume anamwonea wivu baba.
mtoto anaanza kufanya vitu anavopendelea kufanya mzaz wa jinsia yake kwa kudhan kua mzaz wa jinsia tofaut na yake ndo vitu hvyo vnafanya ampende.
Unaweza kuta mtoto wa kiume kama baba anapenda kusoma gazeti nae anapendelea kushika gazet kujaribu kusoma nk, au wa kike unakuta yuko busy anaigiza kujipodoa kama mama yake nk Kipindi hiki ni kizuri kumfundisha mtoto kazi fulani unayopenda akikua afanye Pia ni lipindi mtoto anasoma na zile tabia mbaya za wazazi, mfano kama baba anampga mama bas na mtoto wa kiume anajifunza akikua anakua anawatreat wanawake.
NI kipindi cha kuacha au kificha tabia mbaya za wazazi Phallic stage inaanzia umri wa miaka mitatu hadi umri wa,kubarehe

4.GENITAL STAGE
Kuanzia balehe hadi kufa Hapa sasa mtu anakua kimawazo na anaanza kuapply kwenye maisha yake vitu alivyojifunza kwenye phallic stage.

Comments

Popular posts from this blog

BIMA YA AFYA NA FAIDA ZAKE

BIMA YA AFYA NA FAIDA ZAKE By Dalus Bima ya afya ni nini? Bima ya afya ni mfumo wa kujiunga kwa hiari ama kwa lazima unaomhakikishia mwanachama kugharamiwa gharama zozote zinazojitokeza katika kupata huduma za kiafya zikiwemo kumwona daktari, kufanya vipimo pamoja na kupata matibabu na dawa kwa mwanachama husika. Bima ya afya ni kama mkataba unaoingiwa na anayetaka huduma pamoja na mtoa huduma kwa kupitia mifuko au taasisi inayowaunganisha mtoa huduma pamoja na mhitaji wa huduma husika. Mara nyingi Bima ya afya hujumuishwa kwenye makato anayoyatoa mwajiri kwa waajiriwa wake katika kufanya malipo. Pia zipo bima zinazowahusu watu binafsi, wazee na wasiojiweza, wajawazito na wengine wenye mahitaji maalumu bila kusahau wanafunzi kipindi cha masomo yao. Mara nyingi wanachama huchagua taasisi ama mifuko inayotoa bima hizi kulingana na aina, viwango na mipaka (coverage) ya Taasisi/Bima hizo. Ni ukweli uliowazi kuwa kila mfuko huweza kutofautiana na mingine katika huduma inazozitoa kwa...

FAIDA ZA NDIZI MWILINI

FAIDA ZA NDIZI MWILINI Ndizi mbivu ni tunda linalotumika sana kama mlo sehemu mbalimbali duniani. Ni tunda ambalo ni tamu na lenye virutubisho mbalimbali na muhimu kwa mwili. Baadhi ya faida za ndizi kiafya ni kusaidia moyo kufanya kazi vizuri, kupunguza uwezekano wa kupata saratani na pumu. Ndizi ni chanzo kizuri cha madini ya Potasiamu. VIRUTUBISHO VILIVYOMO KWENYE NDIZI Ndizi ya wastani ina uzito wa kama gramu 126O. Ina nishati kiasi cha kalori 110, gramu 30 za wanga na gramu 1 ya protini. Ndizi hazina fati, lehemu (cholesterol) au madini ya Sodiamu. Ndizi zina virutubisho  vifuatavyo; Vitamini B6 – 0.5 mg Manganizi- 0.3 mg Vitamini C – 9 mg Potasiamu – 450 mg Kambakamba- 3g Protini – 1 g Magneziamu – 34 mg Madini ya Foliki- 25.0 mcg Riboflavin – 0.1 mg Niacin – 0.8 mg Vitamini A – 81 IU Madini ya chuma – 0.3 mg FAIDA ZA NDIZI KIAFYA Kushusha Shinikizo la Damu Ndizi zina madini ya Potasiamu kwa wingi amb...